Hapa ndipo nipapoishi kwa sasa hivyo karibu kama jasho la mtu laliwa.
Ni Ofisi na mahali pa kulala pia raha na tabu pamoja tukitayamia mji ambao mwenye kuubuni na kuujenga ni Mungu.
Hata hivyo naikumbuka sana familia yangu na ofisi ya AWR/ETC
Parapanda Isaya 52:7 KWA MAONI TUMA UJUMBE KWA (Comments give through): kibasisi@yahoo.co.uk
No comments:
Post a Comment