Ilibidi tukae kwenye boti na kutalii berlin, tukivaa headphone zenye uwezo wa kutafsiri. Pia tukaenda kuteleza kwenye theluji, nilitishika sana kukaa kwenye aina ya tairi la utelezi!
Tukaona jengo la utawala wa Wajerumani, halafu tukaona kumbu kumbu ya mauaji ya halaiki ya wayahudi chini ya utawala wa kinazi. Inatisha.
No comments:
Post a Comment